Ukifuatilia mambo haya utafurahia utamu wake, au hata kujua mambo mengi sana. Utaona vile Mungu anavyopenda watu waliomkubali na kuacha vitu vyao vyote na kumfuata yeye.
Siku moja Yesu alipokuwa akitembea zake aliwaona watu watatu waliokuwa wakivua samaki, Yakobo, Petro, na Yohana. Yesu akawaambia, "Acheni hayo myafanyayo nifuateni mimi nani nitawafanya kuwa wavuvi wa watu." Petro na wenzake waliziacha nyavu zao wakamfuata yeye na hapo ndipo Yesu alipoanza kuwaita watu hadi leo anawaita.
Mnara wa Babeli (389 KB) View
Abrahamu (Mwanzo 11-25) (883 KB) View
Isaki na Rebeka (473 KB) View
Mwongozo wa Marko (250 KB) View